Waziri Mkuu wa Korea atembelea NIDA na Hospitali ya Mnazi Mmoja
Waziri Mkuu wa Korea atembelea NIDA na Hospitali ya Mnazi Mmoja
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Kangi Lugola (Mb.) akisalimiana na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Korea Mhe. Lee Nak-Yon mara baada ya kuwasili kwenye kituo cha kutunzia kumbukumbu cha Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kilichopo Kibaha. Kituo hicho kilijengwa kwa Mkopo wa masharti nafuu kutoka Korea kupitia Banki ya Exim.
Mhe. Nak-Yon akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumaliza ziara yake kwenye kituo hicho cha kuhifadhia kumbukumbu cha Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).
Mhe. Nak-Yon akiweka saini katika kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili kwenye kituo hicho.