News and Events
Waziri Kombo Aagana na Waziri wa Mambo ya Nje wa China
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameagana na mgeni wake, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China, Mheshimiwa Wang Yi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa…
Tanzania China za kubaliana kuendeleza Ushirikiano wa Kimkakati
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amekutana na kufanya mazungumzo ya pande mbili na mgeni wake, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Wang Yi, na kukubaliana…