Balozi Said Shaib Mussa ampokea Waziri wa Mambo ya Nje wa Cyprus Mhe. Constantinos Kombos
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashaririki Mhe. Balozi Said Shaib Mussa amempokea Waziri wa Mambo ya Nje wa Cyrus Mhe. Constantinos Kombos, katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini…