MKUTANO WA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU KWA WAKUU WA IDARA NA VITENGO KATIKA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI 13 -15 JUNI, 2025
Menejimenti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, ikiongozwa na Katibu Mkuu, Balozi Samweli Shelukindo na Katibu Mkuu, Balozi Stephen Mbundi, wamekusanyika jijini Arusha kutathimini utekelezaji wa majukumu ya…