Balozi Mteule wa Jamhuri ya Cyprus, awasilisha Nakala za Hati za Utambulisho
Tarehe 27 Machi, 2025 Balozi Mteule wa Jamhuri ya Cyprus mwenye makazi yake Nairobi Kenya, Mhe. Savvas Viadimirou amewasilisha nakala ya hati za utambulisho kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, anayeshughulikia…