Tanzania , Brazil Zajizatiti Kuimarisha Diplomasia ya Uchumi
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Samwel Shelukindo, amekutana na kuzungumza na Balozi wa Brazil nchini Mheshimiwa Gustavo Martins Nogueira, katika Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar…