News and Events
MAANDALIZI YA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA EAC YAANZA JIJINI ARUSHA
Mkutano Maalumu wa 59 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) umeanza katika Makao Makuu ya Jumuiya jijini Arusha, ikiwa ni maandalizi ya Mkutano wa 25 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya hiyo unaotarajiwa kufanyika…
Minister Kombo, Ambassador of the Republic of Zimbabwe Discuss Ways to Strengthen Diplomatic and Economic Cooperation
Minister of Foreign Affairs and East African Cooperation, Honourable Ambassador Mahmoud Thabit Kombo, met and held discussions with Her Excellency Helen Bawange Dingani, Ambassador of the Republic of Zimbabwe, in Tanzania. These talks…
Tanzania and Mozambique to Strengthen Bilateral Cooperation in strategic Sectors
The governments of the United Republic of Tanzania and Mozambique have expressed their commitment to further strengthening bilateral cooperation in the health sector and other strategic areas to promote the development of their citizens.The…
Tanzania na Uganda zaongeza wigo wa ushirikiano wa kiuchumi
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Uganda zimekubaliana kuongeza wigo wa ushirikiano wa kimkakati katika sekta muhimu za kiuchumi kwa lengo la kukuza uchumi wa mataifa hayo jirani na rafiki ya Afrika Mashariki pamoja na…
Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni, amewasili jijini Dar es Salaam, Tanzania, kwa ziara ya kikazi ya siku moja.
Mara baada ya kuwasili, Rais Museveni atafanya mazungumzo ya pande mbili na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, mazungumzo hayo pamoja na masuala mengine yatalenga kuimarisha uhusiano…