DKT. MPANGO AWASILI MAREKANI KUSHIRIKI MKUTANO WA 80 Wa BARAZA KUU LA UMOJA WA MATAIFA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango amewasili jijini New York Marekani tarehe 21 Septemba, 2025 kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.Mhe. Dkt. Mpango…