WIZARA YA MAMBO YA NJE YASHIRIKI MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imeungana na Wizara na Taasisi mbalimbali za serikali kushiriki katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayofanyika katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma. Maonesho…