Waziri Mahiga na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani wakutana kwa mazungumzo rasmi
Waziri Mahiga na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani wakutana kwa mazungumzo rasmi
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga (kulia kwa pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Mhe. Heiko Maas wakimsikiliza Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Mindi Kasiga alipokuwa akitoa utaratibu kuhusu mkutano kati ya Mawaziri hao na Waandishi wa Habari (Joint Press Conference) uliofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) kuhusu madhumuni ya ziara ya Waziri Maas nchini