Skip to main content
News and Events

Waziri Mahiga afanya mazungumzo na Balozi wa Denmark nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) akimkaribisha Balozi wa Denmark nchini Mhe. Einar Hebogard Jensen walipokutana katika ofisi za Wizara Jijini Dar es Salaam tarehe 25 Mei 2018.