Skip to main content
News and Events

Mkutano wa Pamoja kati ya Wizara na Ubalozi wa China nchini wafanyika

Mkutano wa Pamoja kati ya Wizara na Ubalozi wa China nchini wafanyika 

  • Balozi wa China nchini Mheshimiwa Wang Ke, ( katikati) akiongea katika Mkutano huo, wengine ni Maafisa kutoka Ubalozi wa China nchini alioambatana nao.
  • Katibu Mkuu Prof. Adolf Mkenda ( wa kwanza kushoto), Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Ustralasia Bibi Justa Nyange, Bw. Joseph Kiraiya kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Mkrugenzi Mkuu wa EPZA Kanali Mstaafu Joseph Simbakaria na wengine ni Maafisa kutoka Taasisi mbalimbali za Serikali wakifuatilia Mkutano huo