Skip to main content
News and Events

MAONESHO YA PILI YA KAZI ZA SANAA ZA TANZANIA YAFUNGULIWA JIJINI HONG KONG, CHINA.

  • Baadhi Wanadiplomasia na wafanyabiashara wa jijini Hong Kong wakisikiliza Hotuba ya Ufunguzi ya Balozi wa Tanzania nchini China Mhe. Mbelwa Kairuki
  • Baadhi Wanadiplomasia na wafanyabiashara wa jijini Hong Kong wakiangalia kazi mbalimbali sanaa kwenye maonyesho yanayoendelea jijini Hong Kong