Katibu Mkuu afanya mazungumzo na Balozi wa Uingereza nchini
Katibu Mkuu afanya mazungumzo na Balozi wa Uingereza nchini
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Adolf Mkenda akisalimiana na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mhe. Sarah Cooke, alipomtembelea Wizarani tarehe 12 Februari,2018, Dar es Salaam
Mazungumzo yakiendelea, wa kwanza kulia ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Ulaya na Amerika na Ulaya Bw. Salvatory Mbilinyi, na wa kwanza kushoto ni Naibu Balozi Ubalozi wa Uingereza Bw. Matt Sutherland