Skip to main content
BALOZI MULAMULA ATEMBELEA WATUMISHI WALIOPO KATIKA JENGO LA PSSSF
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiongea na mmoja wa Watumishi katika Kitengo cha Uhasibu alipotembelea Ofisi hizo kwa lengo la kujionea utendaji
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiwa katika Ofisi za Masijala wakati alipo watembelea Wafanyakazi walioko katika Ofisi hizo kwa lengo la kujionea namna wanavyotekeleza majukumu yao.