Skip to main content
News and Events

BALOZI MULAMULA AMLAKI WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA NCHINI BOTSWANA

  • Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Botswana Mhe. Lemogang Kwape baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere - Dar es Salaam
  • Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Botswana Mhe. Lemogang Kwape muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere - Dar es Salaam
  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Botswana Mhe. Lemogang Kwape akiwa katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere - Dar es Salaam