BALOZI MULAMULA AMLAKI WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA NCHINI BOTSWANA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Botswana Mhe. Lemogang Kwape baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere - Dar es Salaam
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Botswana Mhe. Lemogang Kwape muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere - Dar es Salaam
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Botswana Mhe. Lemogang Kwape akiwa katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere - Dar es Salaam