Skip to main content
News and Events

Waziri Mahiga afanya mazungumzo na Wabunge wa EALA

Waziri Mahiga afanya mazungumzo na Wabunge wa EALA

  • Mbunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki kutoka Tanzania Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe (kushoto) akizungumza na Waandishi wa Habari walipotembelea ofisi za Wizara mjini Dodoma. Kulia ni Mhe. Wanjiku Muhia kutoka Kenya ambaye pia ni kiongozi wa msafara wa ziara hiyo
  • Mhe. Adam Kimbisa Mbunge wa EALA (Tanzania) akizungumza wakati wa Mkutano na Waandishi wa Habari
  • Mkutano ukiwa unaendelea