Skip to main content
News and Events

TANZANIA YAZINDUA MKAKATI WA KUJENGA MAJENGO YA BALOZI ZAKE NA VITEGA UCHUMI KUONGEZA MAPATO NCHINI

Mgeni rasmi ambaye ni Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya, Mhe. Musalia Mudavadi kwa pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana na Walemavu), Mhe. Deo Ndejembi, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Mhe. Vita Kawawa  na wajumbe wengine wakizindua rasmi ujenzi wa Majengo Pacha ya ghorofa 22 kila moja yatakayojengwa jijini Nairobi, Kenya na kutumika kama Ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini humo na Kitega uchumi kwa ajili ya kuongeza mapato na fedha za kigeni nchini.

venusbet 1pusulabet.com betovis hiltonbet mavibet milosbet istanbulbayanmasozler.com kalebet34.net trwin betadonis beinwon.info vbet betitbet.com.tr trwinx.com betandyou casino

healthandbeautytravel