TANZANIA YAWAHAKIKISHIA MAZINGIRA MAZURI WAWEKEZAJI WA MAREKANI
Balozi wa Comoro hapa nchini, Mhe. Dr. Ahmada El Badasui akimuelezea jambo Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula wakati wa mazungumzo yaliyofanyika katika Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiteta jambo na Balozi wa Marekani hapa nchini Mhe. Donald Wright katika Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula (Mb) akipokea zawadi ya kitabu kutoka kwa Balozi wa Marekani hapa nchini Mhe. Donald Wright. Kitabu hicho kinaelezea fursa za utalii pamoja na mbuga za wanyama nchini Marekani.
Mratibu Mkazi wa Shughuli za Umoja wa Mataifa (UN), Bw. Zlatan Milišić akimueleza jambo Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula (Mb) wakati wa maongezi yaliyofanyika katika Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam