Skip to main content
News and Events

Tanzania ipo tayari kuwapokea Wakuu wa Nchi na Serikali kwa ajili ya Mkutano wa 39 wa SADC

Tanzania ipo tayari kuwapokea Wakuu wa Nchi na Serikali kwa ajili ya Mkutano wa 39 wa  SADC

  • Bw. Zuberi Kachingwe Afisa Usafirisahaji, IKULU,(katikati) akitoa maelezo kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akikagua magari yatakayotumiwa na viongozi na Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kujiridhisha juu ya matayarisho ya mapokezi kwa ajili ya mkutano huo utakaofanyika Dar es Salaam,Tanzania. Kulia ni Afisa Usafirishaji Msaidizi Bw. Athumani Natepe. August 8, 2019.