Skip to main content
News and Events

Pumzika kwa Amani Mhe Dkt John Pombe Magufuli

Uongozi, Menejimenti pamoja na Watumishi wa  Wizara ya Mambo ya  Nje na Ushirikiano wa Afrika mashiriki umepokea kwa mshtuko mkubwa taarifa za kifo cha Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kilichotokea Machi 17, 2021 Dar es Salaam.
 

Uongozi na Wizara kwa ujumla unaungana na Watanzania wote katika maombolezo ya msiba huu mzito kwa Taifa letu.