BALOZI MULAMULA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MABALOZI WA BURUNDI, UINGEREZA NA UMOJA WA ULAYA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) akimsikiliza Balozi wa Burundi hapa nchini Mhe. Gervais Abayeho wakati wa mazungumzo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam
Balozi wa Uingereza hapa nchini Mhe. David Concar akiteta jambo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) wakati wa mazungumzo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) akimsikiliza Balozi wa Uingereza hapa nchini Mhe. David Concar wakati wa mazungumzo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) akipokea nakala ya hati za utambulisho kutoka kwa Balozi mteule wa Italia hapa nchini Mhe. Marco Lombardi jijini Dar es Salaam