Skip to main content
News and Events

Balozi, Dkt. Samwel W. Shelukindo aongoza Mkutano Kamati ya Makatibu Wakuu wa Asasi ya Ulinzi na Usalama SADC

Kikao cha Kamati ya Kudumu ya Makatibu Wakuu wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambaye Tanzania ni Mwenyekiti wa kamati hiyo kinafanyika Zanzibar Januari 04, 2025. Kikao hicho kimeitishwa kwa ajili ya kujadili hali ya siasa na usalama nchini Msumbiji kufuatia uchaguzi mkuu wa nchi hiyo uliofanyika Oktoba, 09, 2024

Mkutano huo wa Makatibu Wakuu unafanyika chini ya Mwenyekiti, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Balozi, Dkt. Samwel W. Shelukindo 
Nchi zinazoshiriki mkutano huo ni mwenyeji Tanzania, Zambia na Malawi.

  • Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula (kulia) na Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) Bi. Clementine Nkwera-Salami (kushoto) wakiwa katika mazungumzo yaliyofanyika jijini Dodoma
  • Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb), Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa (Mb) na baadhi ya Mabalozi wakimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Bandari ya Tanzania Bw. Eric Hamissi alipokuwa akitoa taarifa ya eneo la Bandari Kavu (Kwala) mkoani Pwani leo
  • Sehemu ya Mabalozi wanaoziwakilisha nchi na Taasisi zao hapa nchini wakifuatilia kikao
  • Mazungumzo yakiendelea
  • Sehemu ya Mabalozi wanaoziwakilisha nchi na Taasisi zao hapa nchini wakifuatilia kikao

venusbet 1pusulabet.com betovis hiltonbet mavibet milosbet istanbulbayanmasozler.com kalebet34.net trwin betadonis beinwon.info vbet betitbet.com.tr trwinx.com betandyou casino

healthandbeautytravel