Skip to main content
News and Events

Wizara ya Mambo ya Nje yapokea magari ya msaada

Wizara ya Mambo ya Nje yapokea magari ya msaada

  • Balozi Al-Najem naye akizungumza na kuishukuru Tanzania kwa ushirikiano anaoumpata kwenye utendaji kazi wake hapa nchini. Alisema Serikali yake itaendelea kuisaidia Tanzania katika masuala mbalimbali ikiwemo huduma za kijamii.
  • Waziri Mahiga akitoa neno la shukrani kwa niaba ya Serikali na Wizara yake kwa ujumla mara baada ya kupokea msaada huo.
  • Sehemu ya watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, wa pili kutoka kulia ni Afisa Ubalozi wa Kuwait haapa nchini.