WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA JAPAN AWAANDALIA HAFLA MAALUM MAWAZIRI WANAOSHIRIKI MKUTANO WA SABA WA TIC
WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA JAPAN AWAANDALIA HAFLA MAALUM MAWAZIRI WANAOSHIRIKI MKUTANO WA SABA WA TICAD
Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi, waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akisalimiana na Mawaziri wenzake akiwemo Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini, Mhe. Dkt. Naledi Pandor (kulia) mara baada ya kumalizika kwa hafla maalum iliyoandaliwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan, Mhe. Taro.