Waziri Mahiga akutana na kaimu Balozi wa Marekani nchini
Waziri Mahiga akutana na kaimu Balozi wa Marekani nchini
Mazungumzo yakiendelea, kushoto ni ujumbe uliombatana na Kaimu Balozi, wa kwanza kushoto ni afisa tawala wa ubalozi wa Marekani Bw.Jay Zimmerman, pembeni yake ni afisa habari wa Ubalozi huo, Bi. Lauren Ladenson na kulia ni afisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bi. Redempta Tibaigana.