Skip to main content
News and Events

WAZIRI KABUDI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UMOJA WA ULAYA NCHINI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof. Palamagamba J.A.M Kabudi akielezea jambo wakati wa mazungumzo yaliyofanyika  kwa njia ya Video na Balozi wa Umoja wa Ulaya Nchini Mhe. Manfred Fanti.