Skip to main content
News and Events

Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje washiriki maadhimisho ya Mei Mosi jijini Dar es Salaam

Mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,  Mhe. Paul Makonda (mwenye Tisheti ya bluu) na viongozi wengine akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Sophia Mjema (wa pili kulia) wakiwa wamesimama kuwasalimu Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (hawapo pichani) walipopita mbele ya jukwaa kuu wakati wa maadhimisho hayo yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam tarehe 1 Mei 2019. Kaulimbiu ya maadhimisho ya mwaka 2019 ni  "Tanzania ya uchumi wa Kati inawezekana, wakati wa mishahara na maslahi bora ya wafanyakazi ni sasa".

  • Ilikuwa ni shangwe na furaha kwa Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki waliopo jijini Dar es Salaam kuadhimisha siku yao ya wafanyakazi inayoadhimishwa duniani kote tarehe 1 Mei kila mwakaIlikuwa ni shangwe na furaha kwa Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki waliopo jijini Dar es Salaam kuadhimisha siku yao ya wafanyakazi inayoadhimishwa duniani kote tarehe 1 Mei kila mwaka
  • Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki waliopo jijini Dar es Salaam wakiwa katika Picha ya pamoja.Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki waliopo jijini Dar es Salaam wakiwa katika Picha ya pamoja.