Skip to main content
News and Events

Tanzania na Cuba kuongeza maeneo mapya ya ushirikiano

Tanzania na Cuba kuongeza maeneo mapya ya ushirikiano

  • Dkt. Kolimba akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Cuba nchini Tanzania, Mhe.Prof. Polledo, wa pili kutoka kulia ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Amerika na Ulaya Bi. Mary Matare, na wa kwanza kulia ni Afisa Mambo ya Nje, Bi. Lilian Kimaro na kushoto ni afisa wa Ubalozi wa Cuba hapa nchini.
  • Mkutano ukiendelea