Skip to main content
Press Release

Taarifa kwa Vyombo vya Habari kuhusu fursa za ufadhili wa masomo


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
FURSA ZA UFADHILI WA MAFUNZO
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imepokea fursa za ufadhili wa masomo ya muda mfupi kutoka Serikali ya Singapore kupitia Programu ya Ushirikiano ya nchi hiyo (SCP) na Serikali ya Israel kupitia Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Israel (MASHAV).
Maelekezo ya kalenda ya kozi ambazo zimetolewa chini ya ufadhili wa Programu ya Ushirikiano ya Singapore inapatikana kupitia tovuti yao yahttp://www.scp.gov.sg.
Taarifa ya kina kuhusu nafasi za masomo chini ya ufadhili wa MASHAV inapatikana kupitia tovuti ya http: // mashav.mfa.go.il/MFA/mashav/Courses/Pages/default.aspx.
Sehemu ya kalenda ya kozi chini ya ufadhili wa Programu ya Ushirikiano ya Singaporekwa mwaka 2018 na 2019 ni kama inavyoonesha kwenye jedwali hapa chini.
 

Na.
JINA LA KOZI
MUDA WA KOZI KUANZA
MUDA WA KOZI KUMALIZIKA
1.
Maritime Public Leaders Programme
12/11/2018
16/11/2018
2.
Public Private Partnerships for Infrastructure Financing
19/11/2018
23/11/2018
3.
Smart Nation: Strategy to Implementation
26/11/2018
30/11/2018
4.
Green Climate Financing
03/12/2018
07/12/2018
5.
Integrated Cyber Security Management
10/12/2018
14/12/2018
6.
Investment Promotion and Free Trade Management-FTAs
17/12/2018
21/12/2018
7.
Strategic Foresight: From Insight to Action
14/01/2019
18/01/2019
8.
International Law of the Sea
21/01/2019
25/01/2019
9.
Aviation Security Auditing Techniques and Developing Security Manuals
21/01/2019
25/01/2019
10.
Competitive and Sustainable Ports
28/01/2019
01/02/2019
11.
Climate Change and Emerging Threats
18/02/2019
22/02/2019
12.
Aircraft Accident Investigation Management
18/02/2019
22/02/2019
13.
Strategies to Promote Active Ageing
25/02/2019
01/03/2019
14.
International Dispute Resolution
04/03/2019
08/03/2019
15.
Aviation Incident Investigation: Effective Safety Risk Management
11/03/2019
15/03/2019
16.
Aeronautical Information Services/Management-AIS-AIM
18/03/2019
22/03/2019


Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,
Dodoma
09 Novemba, 2018