News and Events Serikali Mpya ya Lesotho yashauriwa kutekeleza Mageuzi - SADC 05 Jun 2017 - News and Events - 1020 Serikali Mpya ya Lesotho yashauriwa kutekeleza Mageuzi - SADC Waziri Mahiga akiendelea kuwasilisha taarifa ya awali ya uchaguzi wa Lesotho jijini Maseru Waziri Mahiga bado anasoma taarifa ya awali ya uchaguzi wa Lesotho kwa wajumbe.