Skip to main content
Rais wa Afrika Kusini awasili nchini kwa Ziara ya Kiserikali
Mhe. Jacob Zuma Rais wa Afrika Kusini akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Ramadhan Muombwa Mwinyi mara baada ya kuwasili leo tarehe 10 Mei 2017.
