Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Korea-Afrika atembelea Wizara ya Mambo ya Nje
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Korea-Afrika atembelea Wizara ya Mambo ya Nje
Balozi Mlima akiwa katika mazungumzo na Balozi KIM ambapo walijadiliana namna ya Tanzania na Korea zitakavyoboresha mahusiano ya kidiplomasia na kusisitiza umuhimu wa Chuo cha Diplomasia na Kituo cha Korea-Afrika kuwa na ushirikiano katika nyanja mbalimbali ikiwemo kubadilishana walimu na wanafunzi.
Mazungumzo yakiendelea
Balozi Mlima akimkabidhi Balozi KIM kifurushi cha zawadi ya kahawa na chai ya Tanzania
Picha ya Pamoja