Skip to main content
News and Events

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Korea-Afrika atembelea Wizara ya Mambo ya Nje

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Korea-Afrika atembelea Wizara ya Mambo ya Nje

  • Balozi Mlima akiwa katika mazungumzo na Balozi KIM ambapo walijadiliana namna ya Tanzania na Korea zitakavyoboresha mahusiano ya kidiplomasia na kusisitiza umuhimu wa Chuo cha Diplomasia na Kituo cha Korea-Afrika kuwa na ushirikiano katika nyanja mbalimbali ikiwemo kubadilishana walimu na wanafunzi.
  • Mazungumzo yakiendelea
  • Balozi Mlima akimkabidhi Balozi KIM kifurushi cha zawadi ya kahawa na chai ya Tanzania
  • Picha ya Pamoja