Serikali kutoa viwanja kwa ajili ya Mabalozi kujenga ofisi na makazi Dodoma
erikali kutoa viwanja kwa ajili ya Mabalozi kujenga ofisi na makazi Dodoma
Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania Mhe. Thami Mseleku akiuliza swali kuhusu mpango mkuu wa mji wa Serikali Dodoma.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mshereheshaji wa kikao, Bi. Mindi Kasiga akitoa utaratibu na ratiba ya kikao hicho.