Skip to main content
News and Events

Balozi Baraka Luvanda awasilisha hati za utambulisho kwa Rais Ram Nath Kovind wa India

Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe. Baraka Luvanda (kulia), akimkabidhi Rais wa India Mhe. Ram Nath Kovind, hati ya utambulisho kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.