Waziri Mahiga atembelea kiwanja kitakachojengwa Ofisi za Wizara kilichopo Ihumwa Dodoma
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga (kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Bw. Godwin Kunambi alipofika eneo la kiwanja cha Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki lililopo Eneo la Mji wa Serikali la Ihumwa jijini Dodoma kwa ajili ya kuangalia maandalizi ya mwisho kabla ya kuanza ujenzi wa Ofisi za Wizara unaotarajiwa kuanza hivi karibuni. Katikati ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Bibi Maimuna Tarishi.