Skip to main content
News and Events

Waziri akutana na Balozi wa Iran nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Iran Nchini aliyemaliza  Muda wake Mhe.Mehdi Aghajafari. Balozi Mhe. Mehdi Aghajafari wiki ijayo anatarajia kuondoka Nchini kurejea Iran. 

  • Kutoka Kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati Balozi Abdalah Kilima, maafisa kutoka Wizarani Bi. Zainab Angovi, Bw. Gerald Mbwafu na Kisa Doris Mwaseba wakifuatilia mazungumzo