Skip to main content
News and Events

Rais Kagame afungua Maonyesho ya 40 ya Biashara

Rais Paul Kagame akihutubia katika halfa ya ufunguzi wa Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika Viwanja vya Mwl. Julius Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam, ambapo alikuwa mgei rasmi katika maonyesho hayo.