Rais Kagame afungua Maonyesho ya 40 ya Biashara
Rais Paul Kagame akihutubia katika halfa ya ufunguzi wa Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika Viwanja vya Mwl. Julius Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam, ambapo alikuwa mgei rasmi katika maonyesho hayo.