Rais Dkt. Magufuli afanya mazungumzo na Rais Museveni Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais Dkt. Magufuli afanya mazungumzo na Rais Museveni Ikulu jijini Dar es Salaam
Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akifurahi pamoja na wananchi waliojitokeza kumuaga Rais Museveni wa Uganda uwanja wa ndege jijini Dar es Salaam
Mhe. Yoweri Museveni Rais wa Uganda akizumgumza na wanahabari mara baada ya kufanya mazungumzo na mwenyeji wake Rais Mhe. Dkt John Pombe Joseph Magufuli Ikulu jijini Dar es Salaam
Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) mara baada ya mazungumzo na Mhe. Yoweri Museveni Rais wa Jamhuri ya Uganda yaliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akijadili jambo na Mhe. Amelia Kyambade Waziri wa Biashara, Viwanda, na Ushirika wa Uganda
Balozi Ramadhani Mwinyi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akifuatilia mkutano uliokuwa ukiendelea