Skip to main content
News and Events

Katibu Mkuu afanya mazungumzo na Balozi wa Ujerumani nchini

Katibu Mkuu afanya mazungumzo na Balozi wa Ujerumani nchini

  • Mazungumzo yakiendelea, wanaofuatilia mazungumzo hayo ni Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy( Katikati kulia), kushoto kwake ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika, Bw. Justus Nyamanga na kulia kwake ni Afisa Mambo ya Nje, Bi Lilian Kimaro.