Balozi wa Tanzania nchini India awasilisha Hati za Utambulisho nchini Bangladesh
Balozi wa Tanzania nchini India anayewakilisha pia nchini Bangladesh, Mhe. Baraka Luvanda akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Watu wa Bangladesh, Mhe. Md. Abdul Hamid katika hafla iliyofanyika hivi karibuni katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Dhaka.