BALOZI WA SPAIN AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO IKULU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Spain nchini Mhe. Maria Pedros Carrtero kwenye sherehe iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 8,…
BALOZI WA CANADA AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO IKULU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Canada nchini Mhe. Pamela O'Donnel kwenye sherehe iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 8, 2018
BALOZI WA UAE AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO IKULU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) Mhe. Khalifa Abdulrahman Mohamed Al-Marzooqi kwenye sherehe iliyofanyika Ikulu jijini…
Taarifa kwa Vyombo vya Habari kuhusu fursa za ufadhili wa masomo
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI FURSA ZA UFADHILI WA MAFUNZO Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imepokea fursa za ufadhili wa masomo ya muda mfupi kutoka Serikali ya Singapore kupitia Programu ya Ushirikiano ya…
Announcement for Opportunities to Study in Ireland
PRESS RELEASE Announcement for Opportunities to Study in Ireland Applications are invited from qualified Tanzanians to apply for Irish Aid Fellowship Programme for the year 2018/2019. The call for applications is now open and the closing…
PUBLIC ANNOUNCEMENT
PUBLIC ANNOUNCEMENT The Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation of the United Republic of Tanzania wishes to remind the General Public and All People in need of Certification of Documents to be used outside the country,…