Prof. Kabudi afanya mazungumzo na Mwakilishi wa UNESCO nchini Tanzania.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi(Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi,na Utamaduni (UNESCO) nchini…