Taarifa kuhusu kuzingatia sheria katika katika kuingiza au kutoa mifugo nchini kwa ajili ya malisho
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TAARIFA KUHUSU KUZINGATIA SHERIA KATIKA KUINGIZA AU KUTOA MIFUGO NCHINI KWA AJILI YA MALISHO NA MAJI Hivi karibuni, tumeshuhudia kuibuka kwa wimbi kubwa la uungizaji wa mifugo kutoka nchi jirani…