TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Watumishi wa umma Zanzibar wapigwa msasa kutekeleza Mipango ya Serikali Taasisi za Umma zimeshauriwa kujikita zaidi katika utekelezaji wa mipango iliyojiwekea badala ya kutumia muda mwingi kupanga mipango…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli amesema kuwa Misri ina historia kubwa katika Nyanja mbalimbali za maendeleo yaliyofikiwa na mwanadamu katika dunia ya leo. Kauli hiyo aliitoa jana Ikulu,…