Skip to main content

HOTUBA YA BAJETI 2025 - 2026

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo kuwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara kwa mwaka wa Fedha 2025/2026 tarehe 28 Mei, 2025.

Rais Samia Azindua Sera ya Mambo ya Nje

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua Sera ya Mambo ya Mje ya Mwaka 2001, Toleo la Mwaka 2024 katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti…