WAZIRI KABUDI AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO) MHE. DKT. TEDROS
WAZIRI KABUDI AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO) MHE. DKT. TEDROS A. GHEBREYESUS
WAZIRI KABUDI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UMOJA WA ULAYA NCHINI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof. Palamagamba J.A.M Kabudi akielezea jambo wakati wa mazungumzo yaliyofanyika kwa njia ya Video na Balozi wa Umoja wa Ulaya Nchini Mhe. Manfred Fanti.
KATIBU MKUU KANALI IBUGE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MWAKILISHI MKAZI WA UNDP
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Bi. Christine Musisi akimuelezea jambo Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na UShirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Kanali Wilbert Ibuge wakati walipokutana kwa…
KATIBU MKUU AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MRATIBU MKAZI WA SHUGHULI ZA UMOJA WA MATAIFA
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na UShirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Kanali Wilbert Ibuge akiongea na Mratibu Mkazi wa Shughuli za Umoja wa Mataifa (UN), Bw. Zlatan Milišić wakati walipokutana kwa mazungumzo leo jijini Dar…
KATIBU MKUU AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA ZAMBIA NCHINI
Balozi wa Zambia nchini Mhe. Benson Keith Chali akiongea na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na UShirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Kanali Wilbert Ibuge wakati walipokutana kwa mazungumzo leo jijini Dar es Salaam
SERIKALI YAENDELEA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZINAZOJITOKEZA MIPAKANI
SERIKALI YAENDELEA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZINAZOJITOKEZA MIPAKANI