Skip to main content

Wasomi watoa maoni kuhusu EPA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI   Wasomi watoa maoni kuhusu EPA Dodoma, 12 Aprili, 2019. Tanzania imeshauriwa kufanya tathmini ya kina kuhusu faida na hasara za kusaini Mkataba wa Ubia wa kiuchumi kati ya Jumuiya ya Afrika Mashariki…

Wasomi watoa maoni kuhusu EPA

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo  ya  Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Faraji Kasidi Mnyepe, akisalimiana na Profesa Helmut Asche ambaye ni mtaalam wa masuala ya uchumi, sayansi ya jamii na mtangamano wa kikanda mara…