Mkutano wa 27 wa Kamati ya Mawaziri ya SADC ya Masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama Waanza
Mkutano wa 27 wa Kamati ya Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ya Masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama (MCO) unaofanyika nchini tarehe 21-25 Julai,2025 umeanza katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius…