Skip to main content

WATANZANIA WALIOKWAMA SUDAN WAWASILI NCHINI SALAMA.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa ujasiri wa kufanya uamuzi wa haraka wa kuwarejesha…

KAMALA AWASILI NCHINI

Makamu wa Rais wa Marekani, Mhe. Kamala Harris amewasili nchini tarehe 29 Machi, 2023 kuanza ziara yake ya kikazi ya siku tatu kuanzia tarehe 29 hadi 31 Machi, 2023.Mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius…

DKT. TAX AKUTANA NA BALOZI WA MAREKANI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) amekutana na kuzungumza na Balozi wa Marekani nchini, Mhe. Michael Battle katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam.Pamoja na mambo mengine,…