RAIS KAGAME AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MBILI
Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame, awasili nchini kwa Ziara ya Kikazi ya siku mbili tarehe 27 - 28 April, 2023. Mheshimiwa Rais Paul Kagame na Ujumbe wake amepokelewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano…