Tanzania na Afrika Kusini za dhamiria kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi.
Wataalamu wa Tanzania na Afrika Kusini wapo katika mkutano wa siku nne wa kuandaa mpango bora wa kushirikiana kwenye maeneo mbalimbali kwa madhumuni ya kukuza uchumi wa nchi hizo. Mkutano huo unaojulikana kama Tume ya Ushirikiano ya…